Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,608
- 59,731
Nafikiri diesel ni nzuri zaidi kwa hali ya afrika kwani matumizi ni kidogoMkuu nahitaji ya 2008 mpaka 2010.
KUhusu Diesel/Petrol hapo ndo nahitaji elimu zaidi which one is the best for Tz
Petrol labda uwe mjini tu maana inakula hela nyingi kwa matumizi
Diesel kama ni safi bila kuchakachuliwa basi ni bora zaidi, maana ingini ikipata shida ni gharama kubwa
Hakikisha kuna mafundi wazuri wa haya magari
All the best
Halafu inategemea sasa unapendelea Auto au manual
Mimi binafsi napendelea Manual kama ni sport car ila hizi kubwa Auto ni bora
Na siku hizi gari karibia zote ni Auto mpaka malori