GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,646
- 10,861
👏👏👏asante sanaa mkuu kwa ushuhuda vivid, mkuu unaweza kunipa contacts zako DM ili nikuchek tuzungumze machache maana ninahamu ya kuchukua hii chuma mwez ujao iwe imefika mkononi
👏👏👏asante sanaa mkuu kwa ushuhuda vivid, mkuu unaweza kunipa contacts zako DM ili nikuchek tuzungumze machache maana ninahamu ya kuchukua hii chuma mwez ujao iwe imefika mkononi
Huyu ni Mimi, elfu kumi zinakaa mfuko wa nyuma, elfu mbili mfuko wa mbele kulia na elfu moja mfuko wa shati,Tourage mnyama ila hutakiwi kuwa mtu wa kuhesabia hela mfukoni.
Hakikisha sheri ipo karibu na unapokaa, pia una namba rasmi za mafundi.Wakuu, nataka kuagizia sasa gari ya ndoto yangu, gari inayokonga mtima wangu si ingine bali ni VolksWagen Touareg V6.
Hii gari kila nikiiona road naweweseka jinsi ilivyo body yake kubwa na muonekano wa kiume/kibabe.
Hii ni SUV yenye cockpit moja matata sana na ya kipekee.
Budget yangu ni M 35, sasa naomba kupata hints kwa mjuzi ambaye alishawahi kumiliki au kuwa close na mtu mwenye hili dungu.
Mad Max RRONDO Hamritzer
View attachment 3284747View attachment 3284748View attachment 3284749
Aisee wewe kiboko 😂Huyu ni Mimi, elfu kumi zinakaa mfuko wa nyuma, elfu mbili mfuko wa mbele kulia na elfu moja mfuko wa shati,
Mnapatia wap helaNi chuma poa sana.
Mimi nimeagiza Tiguan, next month itakuwa ndani.
Hahah, si ghali Mkuu... Ukiwa na Euro 50k unapata chuma yako safi.Mnapatia wap hela
Nimenunua chuma si mpya ni used kutoka kwa jamaa yangu hapo Morocco.Mkuu, umeagiza kwa njia ipi?
Maana bado me sijaagiza ndo natarajia mwezi ujao niagize
Wewe hapo si unataka ivuta kutoka Europe? Hujajaribu kuwacheki Be Forward?Mkuu, umeagiza kwa njia ipi?
Maana bado me sijaagiza ndo natarajia mwezi ujao niagize
Hao uhakika Mkuu, ongea nao vizuri.Nimewachek SBT
Umetisha sana Mkuu, hiyo chuma ni hatari.Mm namiliki mdogo wake Tuareg kwa maana ya Tiguan ya mwaka 2012, ushauri wangu kwako gari za Europe hazihitaji mikono mingi yaani usimpe mtu gari kiholela aiseee kuna wapuuzi wakiona chuma ni ya kufunguka wanatafuta sifa road aiseee, gari tumia wewe mwenyewe
Kausha dam kumbe upo huku nako kwa wanaume wa VolksWagen Touareg V6?Njoo tukupe mkopo wa 55% ya gharama za kuagiza gari mpaka inakufikia na mkopo utalipia kidogo kidogo Hadi miaka miwili.Au tutakupatia mkopo wa Kununua gari hyo kama ipo yard hapa Tz Kwa 45% ....hii ni Kwa yeyote anaye taka kununua gari yard au anataka kuagiza gari nje ya nchi.Call 0784087481....
Nimekuelewa vyema mkuuMm namiliki mdogo wake Tuareg kwa maana ya Tiguan ya mwaka 2012, ushauri wangu kwako gari za Europe hazihitaji mikono mingi yaani usimpe mtu gari kiholela aiseee kuna wapuuzi wakiona chuma ni ya kufunguka wanatafuta sifa road aiseee, gari tumia wewe mwenyewe