😂😂😂😂Hiyo gari ukifanya kitu cha kijinga inakutukana huwa inakuuliza mpaka.maswali are you crazy,kuna jamaa ilimuuliza hivyo akabonyeza yes hapohapo ikajipigq lock
elf 5 tunaweka wapi?Huyu ni Mimi, elfu kumi zinakaa mfuko wa nyuma, elfu mbili mfuko wa mbele kulia na elfu moja mfuko wa shati,
😂😂😂😂😂😂Hiyo gari ukifanya kitu cha kijinga inakutukana huwa inakuuliza mpaka.maswali are you crazy,kuna jamaa ilimuuliza hivyo akabonyeza yes hapohapo ikajipigq lock
Ebhana eeh! Hilo dude ni balaa sanaa, limekaa kibabe sanaa alafu too unique.Nimeliona hili ndinga leo sehemu, ni jeusi afu limenakshiwa na straps nyeupe kwa madirisha.
Linawaka hatari, afu kashuka chalii mdogo tyuuh, nahisi la mzee wake lile.
Kuna vijana wanafaidi maisha asee. Lol
Kila la kheri kwako.Ebhana eeh! Hilo dude ni balaa sanaa, limekaa kibabe sanaa alafu too unique.
Soon, ntalikamata before 2026 ends.
Wharfage- gharama ya kushushia VW Touareg bandari ya DSM kuanzia 8/3/26 ni TSh 6m badala ya Tsh 500kEbhana eeh! Hilo dude ni balaa sanaa, limekaa kibabe sanaa alafu too unique.
Soon, ntalikamata before 2026 ends.
Ebhana eeh! Hilo dude ni balaa sanaa, limekaa kibabe sanaa alafu too unique.
Soon, ntalikamata before 2026 ends.
Mkuu nikiwa na milioni 26 naweza kulipata hadi mkononi la mwaka 2007, < 100000kmWharfage- gharama ya kushushia VW Touareg bandari ya DSM kuanzia 8/3/26 ni TSh 6m badala ya Tsh 500k
TRA inasoma 10,900,000 kuna gharama zingine ili nisijichanganye nikashindwa kulitoa bandariniNgoja tusubiri jibu