KISUNZU YP Senior Member Joined Jul 30, 2016 Posts 117 Reaction score 41 Jun 6, 2022 #1 Wadau habari za leo naomba kupata majibu. Nina mpango wa KUAGIZA MZIGO wa mashine ya kusaga karanga. Je, nitaibiwa au ni salama mizigo itafika?
Wadau habari za leo naomba kupata majibu. Nina mpango wa KUAGIZA MZIGO wa mashine ya kusaga karanga. Je, nitaibiwa au ni salama mizigo itafika?
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 39,921 Reaction score 61,671 Jun 6, 2022 #2 Kama una mashaka, tafuta kampuni ikuagizie, wewe uilipe kampuni