Sijataja wala kutamka neno 'mkoa' mahali mkuu!!Hakuna mkoa unaitwa Babati mkuu
Sawa mkuuSijataja wala kutamka neno 'mkoa' mahali mkuu!!
ila yupo Babati!Sawa mkuu

Ok comradeila yupo Babati!![]()
Acha tuu Dada,Wandugu,
Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.
Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.
Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
UKISHA KUBALI KUAJILIWA NI KAMA MKE NDANI YA NDOA.....NI LAZIMA ULALE BILA NGUO....Wandugu,
Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.
Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.
Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
usiache kazi, omba ukasome tu, utapumzika.Wandugu,
Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.
Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.
Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
Kuna kazi inatangazwa inaitwaWandugu,
Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.
Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.
Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
Kwani mlemavu anaishije?Uoga wako ndo umaskini wako....utaishije kwa mshahara wa laki tano kwa mwezi ili hali wewe sio mlemavu!
Kweli picha imewateka wengi walio comment mada yako aiseee Tz tuna safari ndefu sana.Wandugu,
Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.
Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.
Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
Mkuu Nina mengi ya kufanya sana ,nilishajiwekezea kwenye miradi mbalimbali naona kama najipotezea muda na hawa wanasiasa.Pole sana. Hiyo ndo serikali yako.
Na mbaya zaidi ni pale pesa zako zilizopo kwenye hifadhi ya jamii huwezi kuzichukua.
Ukiacha kazi utaenda kufanya nini kama mbadala?