Nataka kuacha kazi

Nataka kuacha kazi

Pole sana dada,
1. Usiache kazi.
2. Kaa chini ujiulize kwa nini wewe ndo uendeshwe na sio wengine.
3. Ukipata jibu la kipengele no.2. nadhani utalifanyia kazi na mambo yataenda vizuri. Usisahau pia kuwa kazi sio kupata mshahara tu, kazi ni heshima pia maana umeaminiwa.
 
Wandugu,

Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.

Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.

Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
Acha tuu Dada,
 
Wandugu,

Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.

Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.

Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
UKISHA KUBALI KUAJILIWA NI KAMA MKE NDANI YA NDOA.....NI LAZIMA ULALE BILA NGUO....
 
Wandugu,

Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.

Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.

Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
usiache kazi, omba ukasome tu, utapumzika.
 
Wandugu,

Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.

Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.

Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
Kuna kazi inatangazwa inaitwa
ACHA KAZI UPATE KAZI YA KUTAFUTA KAZI
 
Kama huyo wa kwenye avatar ndio wewe,Acha tu...Njoo hapa ubungo kesho nakukabidhi gari na funguo! Unaendesha mwenyewe,hakuna kuendeshwa tena.......
 
Wandugu,

Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.

Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.

Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
Kweli picha imewateka wengi walio comment mada yako aiseee Tz tuna safari ndefu sana.

Kazi bila challenges siyo kazi hiyo!!

Be strong Fanya kazi
 
Pole sana. Hiyo ndo serikali yako.

Na mbaya zaidi ni pale pesa zako zilizopo kwenye hifadhi ya jamii huwezi kuzichukua.

Ukiacha kazi utaenda kufanya nini kama mbadala?
Mkuu Nina mengi ya kufanya sana ,nilishajiwekezea kwenye miradi mbalimbali naona kama najipotezea muda na hawa wanasiasa.
 
Back
Top Bottom