Hawafanyi kazi, then wanaishije?Achana na utumwa huo,USA kwasasa wanaajiri wageni...mana wazawa wenye akili hawataki kusikia huo upumbavu wa ajira
Naomba mfano wa matamko mawili tu: moja kutoka kwa DC na RC moja.
" hacha " ndo nini???Kwakuwa ww ni wa kike hacha tu....utapata kazi nyingine.....niambie unaacha lini nitume maombi hapo?
Wamachinga na mama ntilie ndio wanakula bata awamu hii.
-Vumilia mkuu ni upepo, usiache kazi
Ushawai kuona mtu anaomba ushauri kwenda kuua mtu? Ushauri wa watu hauwezi kukusaidia hayo ni maamuzi magumu amua mwenyewe!Wandugu,
Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.
Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.
Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
Hapana mkuu,Kwani wao hawakustahili kula bata? Mbona tunawanyanyapaa
Hahahaaaaaa nisomee hizi namba 2020Hapana mkuu,
hata watumishi na wafanyabiashara wakubwa, wakulima na wanasiasa wote wanahitaji kula bata.
-Sote tupendelewe na kama kusoma namba tuisome wote.
Hahahaaaaaa nisomee hizi namba 2020
