Nataka kuacha kazi

Nataka kuacha kazi

Inashauriwa kila kukicha speed ikikushinda kaa pembeni waachie watakaoweza kwenda na kasi ya sasa.
 
Wandugu,

Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.

Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.

Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
Mpe atulie
 
bf7dd87caf585defe0b6ed0f718a1766.jpg
9e7e97172f24c6db1b37ac0286d30bc8.jpg
21d5f43dce1e515b4ec0c14f3ab7b6a8.jpg
ae59067aeaa610038cf132904939607a.jpg
 
Leah! Japo unapumulia mashine, endelea ivo ivo tu. Bora punda afe ila mzigo ufike... Ukiacha kazi watoto watakula nini?
 
Wandugu,

Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.

Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.

Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
Dah Sisi tusiokuwa na Ajira tunatamani hata tupate nusu ya mashahara wa Kazi yako shaban Robert Aliwahi kusema namna nzuri ya kutafakari vita ni wakati ukiwa kwenye amani
 
Uoga wako ndo umaskini wako....utaishije kwa mshahara wa laki tano kwa mwezi ili hali wewe sio mlemavu!
Ni kweli, inawezekana laki 5 kwako si kitu, lakin kwa hali ilivyo sasa kuna wasomi wapo mtaani wanaitaka hata laki 3 na hawaipati, sembuse huyo mwenye uhakika wa kula kila siku?

Tusidanganyane mkuu,tofauti na hapo ww bdo ni mwanachuo na unamahope kibao kwamba ipo siku utapata mshahara wa mil.
 
Back
Top Bottom