Unataka kumtumbua.....alikuwa anatania tu..... usifanye hivyo.Naomba mfano wa matamko mawili tu: moja kutoka kwa DC na RC moja.
karibu sana tufuge na kulimaNakuja kbsa nimeshajiandaa muda mrefu now I'm ready
Njoo uishi kama shetani
Njoo uishi kama shetani
ataelewa tu si yupo kwenye jamiiUmemshauri vizuri sana, isipokua sijui kama atakuelewa.
Mpe atulieWandugu,
Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.
Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.
Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
Yupo Babati!Taja upo mkoa gani na idara gani?, achana na jina la halmashauri.

Acha kazi uone kazi kupata kazi.
Fikiri mara ya pili.
Unaposign contract ya ajira ni kuwa umekubali kuwa mtumwa, you only ask yourself, for how much is this slavery for?
Hakuna mkoa unaitwa Babati mkuuYupo Babati!![]()
Acha mitiZamo ya kina kinjekitile NgwaleAcha kazi upate kazi usichezee kazi wakati huna sehemu ya kupata kazi
Dah Sisi tusiokuwa na Ajira tunatamani hata tupate nusu ya mashahara wa Kazi yako shaban Robert Aliwahi kusema namna nzuri ya kutafakari vita ni wakati ukiwa kwenye amaniWandugu,
Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.
Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.
Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
Ni kweli, inawezekana laki 5 kwako si kitu, lakin kwa hali ilivyo sasa kuna wasomi wapo mtaani wanaitaka hata laki 3 na hawaipati, sembuse huyo mwenye uhakika wa kula kila siku?Uoga wako ndo umaskini wako....utaishije kwa mshahara wa laki tano kwa mwezi ili hali wewe sio mlemavu!