Nataka kuacha kazi

Nataka kuacha kazi

Wandugu,

Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.

Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.

Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
Kuacha kazi sio dhambi lakini hakikisha kwanza umejipanga vya kutosha ili kukabiliana na changamoto za kimaisha
 
Hakuna Mtu hata mmoja dunia hii ambae haendeshwi iwe direct au indirect acha ushamba ww na ufala ww uache kazi tena ya serikali kisa kuendeshwa kwani ww account yako si inasona km kawa, ngekuwa private c ungejinyonga ww
Wapo watu ambao wanatafuta kazi mpe hiyo nafasi ww acha ukae kitaa ndio utajua km kachumbari mchuzi au mboga
Una ka hoja kwa mabali japo povu limezidi sana mkuu.... ungeweza mfikishia ujumbe bila povu lote hilo....
 
Wandugu,

Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.

Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.

Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
Mimi niliamua kuacha kazi mwaka 2015 kwa sababu ya katibu tawala mkoa uliokosa bahari. .. aliye take kusudiwa kama Mungu wala sijutii uamuzi wangu
 
mi nafikiri fanya uchunguzi hali mitaani ilivyo alafu ndio uchukue maamuzi
 
Usiache kazi bali komaa nao tu mkuu wakija na matamko nawe wape tamko pia.
 
Back
Top Bottom