Nataka kuacha kazi

Nataka kuacha kazi

My dear now is too much slavery I can't tolerant any more
Mkuu pole,mimi huwaambia ndugu zangu wa halmashauri siwezi kufanya kazi huko.DED akuagize,DC akuagize,RAS akuagize,atakuja RC na watu wake,hapo bado wizara yako.kabla hujamaliza anakuja mkaguzi wa ndani,baada ya June CAG huyu hapa,hapo ndio kwenye mziki,jamaa hawajali kama utekelezaji wa maagizo ya wanasiasa yamekufanya ukiuke taratibu,wanakuachia hoja 100.mwisho madiwani wanakufungia kazi kwa kusababisha hoja
 
Mkuu pole,mimi huwaambia ndugu zangu wa halmashauri siwezi kufanya kazi huko.DED akuagize,DC akuagize,RAS akuagize,atakuja RC na watu wake,hapo bado wizara yako.kabla hujamaliza anakuja mkaguzi wa ndani,baada ya June CAG huyu hapa,hapo ndio kwenye mziki,jamaa hawajali kama utekelezaji wa maagizo ya wanasiasa yamekufanya ukiuke taratibu,wanakuachia hoja 100.mwisho madiwani wanakufungia kazi kwa kusababisha hoja
Mkuu upo sahihi kbsa ,wewe ndo unajua ugumu wa hapa , angalau ilikuwepo kwa awamu zilizopita lkn awamu hii binafsi nimenywea kisimani.
 
Mkuu Nina mengi ya kufanya sana ,nilishajiwekezea kwenye miradi mbalimbali naona kama najipotezea muda na hawa wanasiasa.
Nakushauri tarehe 1 mwakani isikukute hapo ofisini.
 
Hakuna Mtu hata mmoja dunia hii ambae haendeshwi iwe direct au indirect acha ushamba ww na ufala ww uache kazi tena ya serikali kisa kuendeshwa kwani ww account yako si inasona km kawa, ngekuwa private c ungejinyonga ww
Wapo watu ambao wanatafuta kazi mpe hiyo nafasi ww acha ukae kitaa ndio utajua km kachumbari mchuzi au mboga
We ndiyo mshamba! kuajiriwa ni utumwaaaaaaaaa

Karibu mtaani leah tukalime huku hatulipi kodi
 
Wakati naitafuta niliomba ushauri kwa namna nyingne mkuu
Basi ungeomba kwa namna hiyohyo nadhani mpaka sa hizi ungeshapata jibu huwezi kupanda kwa kutumia ngazi afu uanze kuulizia njia ya kushukia
 
Back
Top Bottom