Nataka kuacha kazi

Nataka kuacha kazi

Usiache kazi kikubwa tengeneza mipango yako vizuri baadae uwekeze miradi ya biashara, kilimo au mifugo au vyote kwa ujumla
 
Wandugu,

Mwenzenu naelekea kuachia ngazi maana nimechoshwa na kufanyishwa kazi kwa matamko.

Ni muajiriwa wa serikali nipo halmashauri fulani nikiwa Mkuu wa Idara nimechoshwa kufanyishwa kazi kwa matamko.

Mkuu wa Wilaya ananiendesha, Mkuu wa Mkoa anidhalilishe kisa ajira? Looh naacha kazi.
Acha kazi upate kazi ya kutafuta kazi
 
Back
Top Bottom