Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,556
- 45,859
Jamani maisha magumu bongooo. Mimi nataka kuacha kazi nianze biashara ila nimeona hapa bongo kwa sasa hela hamna bora nitoke kidogo. Naombeni ushauri ni biashara gani inayolipa ya kufanya huko Malawi au Zambia. Pia mtaji wangu ni mdogo tu kama milioni sita hivi.
Pia kama kuna mtu anahitaji partner tupige kazi nipo tayari ila kama wewe ni tapeli wala usipoteze muda wako maana huwezi nitoa hata mia, hapa kazi tu.
2023 mrejesho
Nimejikuta kwenye hii post baada ya mtu kuniquote
Mrejesho soma anzia post 244
Pia kama kuna mtu anahitaji partner tupige kazi nipo tayari ila kama wewe ni tapeli wala usipoteze muda wako maana huwezi nitoa hata mia, hapa kazi tu.
2023 mrejesho
Nimejikuta kwenye hii post baada ya mtu kuniquote
Mrejesho soma anzia post 244