Nampigia chapuo akuchukue wewe japo inananiuma lkn Basi..😅Ukimpata mkuu ulete mrejesho
Ukimpata nitag...nataka demu mpole, ila mtata kitadani.
Nje kolekole, mwenye kupenda utani.
asiependa kelele, nakushida vijiweni.
asiwe kimbelembele kama anaoga uwani.
mwenye mapenzi tele, kama mtoto wa pwani.
Mimi nitamsumbua mimi sio mpoleNampigia chapuo akuchukue wewe japo inananiuma lkn Basi..
Okay.. Basi mi napenda wakorofi Kama weye natumai nitaipata nafasi maana bwana wa majeshi kateta nami nakunionyesha uwaridi weye,nami ni nani mpk nilipinge neno la bwana..?!Mimi nitamsumbua mimi sio mpole