Best home tutor
Senior Member
- May 8, 2026
- 194
- 265
Habari za hasubuhi ndugu wanajamiiforums Africa.
Dunia haina huruma kabisa kwa binadamu yeyote ,nimelitambua hili baada ya kutaka kuumizwa na watu niliowaeleza ukweli ofisini kwangu
Dunia ya sasa haitakiwi useme ukweli ni either uwe chawa au ukubaliane na maamuzi ya mkubwa wako hata kama sio maamuzi yenye manufaa
Kiongozi anaamini yeye ana maono na akili kubwa kuliko mtu yeyote hivyo hawezi kukosea na maamuzi yake ndio top ya mawazo yote.
Kuna viongozi wana roho za kukataliwa lakini wanatumia mabavu sana ikitokea ukasema hutufai wanakuumiza uwe mpole
Kweli Dunia haina huruma
Dunia haina huruma kabisa kwa binadamu yeyote ,nimelitambua hili baada ya kutaka kuumizwa na watu niliowaeleza ukweli ofisini kwangu
Dunia ya sasa haitakiwi useme ukweli ni either uwe chawa au ukubaliane na maamuzi ya mkubwa wako hata kama sio maamuzi yenye manufaa
Kiongozi anaamini yeye ana maono na akili kubwa kuliko mtu yeyote hivyo hawezi kukosea na maamuzi yake ndio top ya mawazo yote.
Kuna viongozi wana roho za kukataliwa lakini wanatumia mabavu sana ikitokea ukasema hutufai wanakuumiza uwe mpole
Kweli Dunia haina huruma