Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,916
Natafuta watoto wa paka.
Kama unao, naomba.
Kutoa ni moyo.
Paka sio nyama.
Naombeni jamani wafugaji
Kama unao, naomba.
Kutoa ni moyo.
Paka sio nyama.
Naombeni jamani wafugaji
Unaomba ?Natafuta watoto wa paka.
Kama unao, naomba.
Kutoa ni moyo.
Paka sio nyama.
Naombeni jamani wafugaji
Nenda pale kwa bibi nyau tandale wapo kibaoNatafuta watoto wa paka.
Kama unao, naomba.
Kutoa ni moyo.
Paka sio nyama.
Naombeni jamani wafugaji
Wale ni binadamu wenzakoNenda pale kwa bibi nyau tandale wapo kibao
Ndio. Unao unipe?Unaomba ?
.....
Paka sio nyama....
Bila Shaka wanakula utumbo piaHii labda kwako....waghana na wanaijeria wanatafuna hawa viumbe balaa
I'm looking for that sweet thing which you always licking itAre you looking for a pussy or a cat?
sitaki wale wazee, nataka watotoMkuu mbona hao viumbe wamezagaa kwenye migahawa na mahospitali? Au hao sio unaowataka
Wamekonda sana? Wana umri gani?Mi ninao wazuri sana
Mkoa gani Mzee? Dar es Salaam nao ni Mkoa piaNjoo huku mikoani wamejaa, haina haja hata ya kuomba.
Ohooo!! Pussy?I'm looking for that sweet thing which you always licking it
Hao wanaitwa mapaka shume hawafugiki kabisa, nilijaribu mmoja siku ile ile alitoka maana nilimfungia ndani nikakuta kachana waya wa mbu wa dirishani bila kumkuta dirishani akichana nisingeamini kwamba ni yeyeMkuu mbona hao viumbe wamezagaa kwenye migahawa na mahospitali? Au hao sio unaowataka