Natafuta watoto wa paka

Natafuta watoto wa paka

Hao wanaitwa mapaka shume hawafugiki kabisa, nilijaribu mmoja siku ile ile alitoka maana nilimfungia ndani nikakuta kachana waya wa mbu wa dirishani bila kumkuta dirishani akichana nisingeamini kwamba ni yeye
pole mkuu
 
Kama huko dar nenda bahari beach hotel pale wapo wengi sana ..... Yaani pale utapata aliye zaliwa juzi ,Jana hata aliye zaliwa Leo utapata tena bureeee bila malipo.......!!!
Duh, paka wa baharini tena!!!!! Huyo paka ukimpata anaweza kukwambia OYAAH, MIMI NA KITIMOTO HATUIVI KABISAAAAAAAAA
 
Natafuta watoto wa paka.
Kama unao, naomba.
Kutoa ni moyo.
Paka sio nyama.
Naombeni jamani wafugaji
Ucjali
FB_IMG_1528008580312.jpg
 
Bila shaka watakuwa mapambo ya ndani maana hayana kazi siku hizi haya mapaka,maana hata kukimbiza panzi ni wavivu.
 
Back
Top Bottom