Mimi ni sales and marketing manager wa hotel moja hapa dsm. For both resident and non resident. Hotel iko mnazi mmoja area, vyumba ni vizuri na safi. Breakfast ni free, vyumba vyote vina maji moto, wifi internet, dstv, air condition. Tunatoa huduma ya ufuaji pia room service hutolewa kwa wale wote wanaopendelea kupata mahitaji ya chakula chumbani.usafiri kutoka na kwenda air port,ubungo bus terminal na bandarini unapatikana kwa bei nafuu. Pia tunapokea maharusi (honey mooners).
Pia hotel yetu ina mgahawa (restaurant) yenye wapishi waliobobea mapishi ya aina mbalimbali.
Kwa upande wa vyumba (malazi) tunatoa commision kwa wale wote wanaotuletea wageni/ wateja
kwa mawasiliano piga no 0713166237 au 0753607205
Pia hotel yetu ina mgahawa (restaurant) yenye wapishi waliobobea mapishi ya aina mbalimbali.
Kwa upande wa vyumba (malazi) tunatoa commision kwa wale wote wanaotuletea wageni/ wateja
kwa mawasiliano piga no 0713166237 au 0753607205