@Majigo,picha nilisafisha kwa jamaa yangu alikuwa na printer ya picha alinifanyia 1500kila picha. fremu nilinunua sh elfu tano kila moja. ila fremu za kununua nidhaifu sana. kwa hiyo fremu uliyoweka hapo ukienda kumuonyesha fundi makiniatakutengenezea tu maana nje ni mbao na huo urembo atajua jinsi ya kuweka
ilikuwa kitambo kiogo mkuu, nilikuwa dar kwa sasa nipo moro. afu mashine yake ilishaharibika. ukitafutatafuta nafikiri unaweza ukapata sehemu ukasafisha picha kubwa kwa bei rahisi.
nime fatlia nikapata duka mmoja lipo nyuma ya bilcanas posta kuna round about na sheli hilo duka lina tazamana na hiyo sheli duka linaitwa Dolson...kwa tarifa nlizo pata 1sq meter ni 30,000
Niliwahi kuelekezwa duka la wall papers liko posta dar opposite na petrol station iliyo karibu na bilcanas. Sijawahi kwenda though
zipo poaHabar wana JF.
Kama kuna mtu ana idea. Natafuta duka linalouza wallpapers for walls nzuri na kwa bei rahisi ikiwezekana npate na fundi mtaalam wa kuzibandika.
Natanguliza shukran.