Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,256
- 2,862
- Thread starter
- #21
nikuweke kwenye list?
Mchawi feki wewe mmxiuuuubill gate mtoto mdogo sana kwangu
Nina hakika ungekuwa mchawi kweli usinge subiri kusikia bali ungeshawajua kwa nguvu zao tena na majina yaoNasikia wachawi wengi humu,sasa mimi namtafuta wa kumroga.Chonde chonde wakuu nina mzigo mpya toka kusini nataka kuujaribu.....tusaidiane.Ni hilo tu.
Why wanaufanya kwa siri na woga..?Nina hakika ungekuwa mchawi kweli usinge subiri kusikia bali ungeshawajua kwa nguvu zao tena na majina yao
Uchawi ni kitu cha kificho, kilichojaa u siri na woga hakifanywi waziwazi wala kuhubiriwa kama mkutano wa siasa
Kwakuwa si mambo yanayokubalika katika jamiiWhy wanaufanya kwa siri na woga..?
uje uanzishe uzi wa asili ya uchawi ni wapi na why watu wanaufanya. ni ombi tuKwakuwa si mambo yanayokubalika katika jamii
We nae wa wapi? Unataka kuroga JF, kwan hujamsikia VANESSA MDEE anaomba kurogwa... Muanze yeye kwanza alaf uje hukuNasikia wachawi wengi humu,sasa mimi namtafuta wa kumroga.Chonde chonde wakuu nina mzigo mpya toka kusini nataka kuujaribu.....tusaidiane.Ni hilo tu.
View attachment 367332
Kwa avatar hii basi nimeshakuamini wewe mchawi!!