Natafuta vijana wa kutembeza viatu grade one vya mtumba pamoja na mashati ya kiume

Natafuta vijana wa kutembeza viatu grade one vya mtumba pamoja na mashati ya kiume

spangwingwi

Member
Joined
Mar 1, 2024
Posts
30
Reaction score
33
Kama kichwa Cha habari kinavojieleza ukiwa ni kijana njoo tufanyie kazi. Mimi napoint viatu karume na mashati ya kiume na Sasa natafuta mtu ambaye anachukua mzigo kwangu anauza faida tunagawana nusu kwa nusu. Ishu hapa huhitaji mtaji ila inahitaji uaminifu na moyo wa kufanya kazi kutafuta wateja.
Nipo kinondoni Dar es salaam
 
Kama kichwa Cha habari kinavojieleza ukiwa ni kijana njoo tufanyie kazi. Mimi napoint viatu karume na mashati ya kiume na Sasa natafuta mtu ambaye anachukua mzigo kwangu anauza faida tunagawana nusu kwa nusu. Ishu hapa huhitaji mtaji ila inahitaji uaminifu na moyo wa kufanya kazi kutafuta wateja.
Nipo kinondoni Dar es salaam
Nitafute tufanye kazi, mimi niko mkoani naweza kuongea naww ntukafanya baishara ya moja kwa moja, yani ukaniuzia namimi nokauza huku .
0788 37 57 48
 
Weka bidhaa zako hapa.
Weka kila bidhaa na bei.
Weka mawasiliano yako.
 
Kabla ya kuwapata, weza hizo bidhaa grade one tuone, unaweza pata wateja
 
Mkuu hii kazi mkoani huwezi kutuma nipo tayari kupata mzigo na kufanya kazi ninaitaka sana
 
Acha mawazo ya kuwatumikisha watoto wa watu kwa kisingizio cha kugawana faida. Weka hivyo viatu na mashati hapa ili tukuungishe.
 
Kama kichwa Cha habari kinavojieleza ukiwa ni kijana njoo tufanyie kazi. Mimi napoint viatu karume na mashati ya kiume na Sasa natafuta mtu ambaye anachukua mzigo kwangu anauza faida tunagawana nusu kwa nusu. Ishu hapa huhitaji mtaji ila inahitaji uaminifu na moyo wa kufanya kazi kutafuta wateja.
Nipo kinondoni Dar es salaam
Mbona hata hapa unaweza tembeza na ukauza mkuu, JF ni dude kubwa inawafikia wowote....binafsi ninahitaji bidhaa zako, njoo inbox kiatu navaa 42, shati navaa M au Small inategemea na nikato. Lete maneno!!
 
Back
Top Bottom