Mrejesho: Mpaka sasa nimeenda kumbi nne,nilianzia kanisa la roma manzese kwa kweli sikuupenda so hata sikua interested kuuliza bei,Nikaenda ukumbi wa Urafiki Social hall(zamani) zipo kumbi mbili za maana ila gharama yake ni 1.5m na 2m na mwingine wa kawaida gharama 1m,Nikaenda ukumbi wa Msewe ni mzuri kiasi na parking nzuri sana sikufanikiwa kuingia ofisini coz walikua wamefunga ila gharama zake hazizidi tsh 600k wameniambia niende saa 9 adhuhuri,Now nimetoka Lunch time hotel nao wana kumbi mbili za hadhi ya wastani bei yao ni 800k...Napumzika kidogo then nitatembelea kumbi nyingine