Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,576
- 12,371
Dah... Kumbe kuna watu bado wanaoa?[emoji15]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Dah... Kumbe kuna watu bado wanaoa?[emoji15]
Hapo pazito kiongoziBei yake milion 3 tu na mapambo mil3.5
Duhh....Bei yake milion 3 tu na mapambo mil3.5
Ubarikiwe bossApi Forest Upo Kimara kwa hiyo Bajeti panakufaa kabisa.Security kubwa ukumbi full AC
Hakuna uzazi usio na mpango....kama haupo kwa binadamu basi upo M/MunguNakutakia harusi/ndoa njema Mkuu.
Na usisahau kuzaa kwa mpango.
-Kaveli-
Ila nashukuru in advanceHakuna uzazi usio na mpango....kama haupo kwa binadamu basi upo M/Mungu
Ipo maeneo gani?[emoji35]Njoo nikupe sebule yangu...
Acha roho mbaya!Dah... Kumbe kuna watu bado wanaoa?[emoji15]
Nimeandika watu wasiozidi 200 brotherunaposema watu wachache afu unasema zaid ya 200 mi sikuelewi, maana ya ni kuanzia 201,Kuendlea hadi watu hata elfu 6 na zaim
Wanaruhusu pombe kwenye sherehe maana kumbi nyingi za makanisa wana masharti ya sherehe bila pombe.nenda kanisa la roman katoliki manzese big brother wana kumbi 2 nzuri na bei nafuu
Umenikumbusha nilienda kwenye harusi ya walokole nilijuta jamani!Wanaruhusu pombe kwenye sherehe maana kumbi nyingi za makanisa wana masharti ya sherehe bila pombe.
Ni kweli na mziki ni wa kilokole, lakini sherehe ukitoa pombe utashangaa gharama inavyoshuka.Umenikumbusha nilienda kwenye harusi ya walokole nilijuta jamani!
Harusi sio harusi...japo sinywi lakini niliboreka sana.
Kila kitu kilikuwa hovyo!
Harusi ni muziki na kula vizuri...
Lakini huko ilikuwa tofauti.
Sasa kwa mimi nisiyekuwa mnywaji niliboreka vile...Ni kweli na mziki ni wa kilokole, lakini sherehe ukitoa pombe utashangaa gharama inavyoshuka.