Depression mara nyingi inatokana na wasi wasi wa itakuwaje..?
Nahiyo ni kwasababu tu watu wengi hawajui maana ya maisha!
Lakini pia watu wengi wanaishi kwa kujilinganisha na watu wengine (ushindani)...
If you want to be happy,kwanza kubali kua free mind na pia fanya yale unayoona yanakupa furaha wewe.
Ukifanya hivo depression utakua unazisoma kwenye mitandao kama hivi..
Nahiyo ni kwasababu tu watu wengi hawajui maana ya maisha!
Lakini pia watu wengi wanaishi kwa kujilinganisha na watu wengine (ushindani)...
If you want to be happy,kwanza kubali kua free mind na pia fanya yale unayoona yanakupa furaha wewe.
Ukifanya hivo depression utakua unazisoma kwenye mitandao kama hivi..