Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,111
Kumbe wewe ni Afisa Misitu!OK
Ngoja niwasiliane na MAAFISA MISITU wenzangu nijue ni wapi utapata mzigo wa kutosha. Ila itakuwa ni huo ukanda wa coastal regions
Eti ushuru wa mbao unafanyikaje?
Mbao moja moja au bulk, eg fuso?