kaburu mdogo
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 567
- 400
Wanaume wa mkoani hawajaona hii kituHapa ndo napo washangaaga wanaume wenzangu ata mtu humjui unataka kuwasiliana naye acheni udomo zega lililochanganywa na mfinyanzi
Wanaume wa mkoani hawajaona hii kituHapa ndo napo washangaaga wanaume wenzangu ata mtu humjui unataka kuwasiliana naye acheni udomo zega lililochanganywa na mfinyanzi
Dada acha hizo watu tunatafuta wanawake wa kuoa hatupati wewe unasema hatuoi,au ndio tatizo la kuonana na mwenye shida ya kuoa.Kama kuowa hamtaki, mnataka tufanyaje sasa? Bora nizae mapenzi nihamishie kwa mwanangu
Mimi pia nimeumizwa saana tuuMimi ni mfupi 5'5 / ningefurahi kama ningekuoa/ pls accept me!
pia nimeumizwa sana.
Yani mkuu hata miaka 25 unasema uko mbali kuifikia lakini umeshaanza kuumizwa na mapenzi, sasa mwenzetu uliyaanza lini hadi yameshakukinai? Ni mawazo yangu tupole aqeelah...tatizo watu hawajui tu au wanajua situation halisi unapojikuta kwenye upweke ulopitiliza..hata mimi japo hata miaka 25 sijafika na bado mbali but hali kama hiyo ya kuumizwa na upweke ikiendelea hadi 30 nakuwa mawazo kama yako,yani naimagine nko room na toto langu tunakimbizana wee,tunaruka kitandani basi nifurahi na kusahau ya dunia..but je wewe umefikiria ikitokea ukafarik ghafla ni nani atamlea mwanao kwa mapenzi yote as u know hii dunia ya sasa.

Ningependa nikusaidie jambo Moja kabla hujapata huyo sperm donor.wangekuwepo nisingekuja hapa mkuu
***Mimi pia nimeumizwa saana tuu
***Mimi ni sperm donor, ni-pm nikutumie popote ulipo
Upo sahihi ila kila mtu na maisha yake mkuu
Shida yake ni sperm tu eti***
kumbe hata kugegedwa hataki du!/ kugegedena kunatengeneza sura nzuri ya mtoto.
kila ,lakheri mkuu, najua mnapitia mengi magumu, ila muombe MUNGU hili nalo litapitaUpo sahihi ila kila mtu na maisha yake mkuu
Hahaaaa.. Nilimaanisha humu wako wengi walioumizwa lakini kuumizwa kusikufanye uwe sperm donor . Kams mtu anataka mtoto kwa nini asiende Clinic hapa Dar akapandikiza sperm. Kuna clinic hapa iko afadhali kidogo kwa bei haswa yeye mwenye degree zake . Million 30 unapata process ya Sperm bila kupata mashaka . Akapandikize tuu clinic halafu alee mwanae kama kweli ana nia ya Sperms tuu.***
mi namuwinda aqeelah unakuja wewe!,aah /kibaya umeblock hata profile yako!