proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,468
- 1,329
Wakuu kwa mwaka huu wa kilimo nategemea kuzalisha kwa kiasi kikubwa sana zao la Mhogo kama tani 150 hivi ,na naamini hili nitarifanikisha kwa sababu nimetengeneza kikundi cha kilimo ili tuweze kufikia lengo,changamoto ipo kwenye soko endapo tutafanikisha kuvuna vizuri ,Kwa yeyote mwenye kujua soko lilipo tuwasiliane na nitamshukuru pia.
=============================
Wakuu kwa mwaka huu wa kilimo nategemea kuzalisha kwa kiasi kikubwa sana zao la Maharage kama tani 100 hivi ,na naamini hili nitarifanikisha kwa sababu nimetengeneza kikundi cha kilimo ili tuweze kufikia lengo,changamoto ipo kwenye soko endapo tutafanikisha kuvuna vizuri ,Kwa yeyote mwenye kujua soko lilipo tuwasiliane na nitamshukuru pia
=============================
Wakuu kwa mwaka huu wa kilimo nategemea kuzalisha kwa kiasi kikubwa sana zao la Maharage kama tani 100 hivi ,na naamini hili nitarifanikisha kwa sababu nimetengeneza kikundi cha kilimo ili tuweze kufikia lengo,changamoto ipo kwenye soko endapo tutafanikisha kuvuna vizuri ,Kwa yeyote mwenye kujua soko lilipo tuwasiliane na nitamshukuru pia