Natafuta Shule ya Awali na Msingi: ADA ISIZIDI 4.5M

Amoeba

JF-Expert Member
Aug 20, 2009
3,289
781
Heshima mbele wakuu, mwakani nataka kumpeleka shule Jr.
Kwa sasa natafuta shule ya awali na msingi, Morogoro, Arusha, Iringa,Mbeya, Mwanza, au Dar (spendelei sana dar)! Kama ni nje ya Tanzania iwe Kenya, South Africa au Botswana. Ubora wa elimu ni jambo la mbele kabisa. Nakaribisha maoni wakuu. Natanguliza shukrani
 
Heshima mbele wakuu, mwakani nataka kumpeleka shule Jr.
Kwa sasa natafuta shule ya awali na msingi, Morogoro, Arusha, Iringa,Mbeya, Mwanza, au Dar (spendelei sana dar)! Kama ni nje ya Tanzania iwe Kenya, South Africa au Botswana. Ubora wa elimu ni jambo la mbele kabisa. Nakaribisha maoni wakuu. Natanguliza shukrani

Lugalo primary school or mugabe primary school pale sinza, zip poa tu wanafundisha vzr sana
 
Heshima mbele wakuu, mwakani nataka kumpeleka shule Jr.
Kwa sasa natafuta shule ya awali na msingi, Morogoro, Arusha, Iringa,Mbeya, Mwanza, au Dar (spendelei sana dar)! Kama ni nje ya Tanzania iwe Kenya, South Africa au Botswana. Ubora wa elimu ni jambo la mbele kabisa. Nakaribisha maoni wakuu. Natanguliza shukrani

Kuna shule iko Temeke (DSM) Inaitwa Madenge P/S ina nursery, au Mapambano P/S iliyokoake zote Mjini Moshi au Mjimwema iliyoko Morogoro bei zote ni chini ya 4.5m bila usafiri wa kwenda shule na kurudi, shule hizi hazina boarding lakini ukiongea vizuri na wakuu wa shule wana namna.
 
Kuna shule iko Temeke (DSM) Inaitwa Madenge P/S ina nursery, au Mapambano P/S iliyokoake zote Mjini Moshi au Mjimwema iliyoko Morogoro bei zote ni chini ya 4.5m bila usafiri wa kwenda shule na kurudi, shule hizi hazina boarding lakini ukiongea vizuri na wakuu wa shule wana namna.

Heshima mbele mkuu, hizo madenge na mapambano ziko maeneo yapi? Ni nzuri zaidi kama zingekuwa boarding. pia naomba kufahamu kama zina malezi ya kidini ama la!
Asante sana mkuu.
 
Mkuu nimekutumia hiyo attachment hapo... ni shule nzuri sana, maana mimi nakaa Morogoro na nategemea kupeleka mtoto huko....
Asante.
 

Attachments

  • GBP Fee 001.jpg
    GBP Fee 001.jpg
    450.1 KB · Views: 259
Mkuu nimekutumia hiyo attachment hapo... ni shule nzuri sana, maana mimi nakaa Morogoro na nategemea kupeleka mtoto huko....
Asante.

Kaka document haisomeki kabisa kaka!
 
Kama vipi St.Ritaliza Pre,Primary and Secondary School,owned by the Sisters of St. Joseph of Mombasa. Ipo Moshi- Kilimanjaro/mpakani maeneo ya Holili. Ni nzuri na nafuu.
 
Mpeleke SAVANAH PLAIN iliyoko Shiyanga,ni shule bora kwa Tanzania kwa watoto wa Mafisadi kama wewe.
 
Amoeba kwani wewe ni mgeni au unataka kutuonyesha uwezo wako na uvivu wa kulea
 
Amoeba kwani wewe ni mgeni au unataka kutuonyesha uwezo wako na uvivu wa kulea

Acha wivu.. huwezi jua mipango yake katika life au ni single parent .. big up mkuu amoeba invest elimu kwa watoto
 
Back
Top Bottom