Natafuta Shamba

I see, asante Malila, nitafika pande hizo karibuni nipe contacts za hao watendaji au pm kama unaona watasumbuliwa. Maeneo ya vyuo ni muhimu huduma hazikosekani na pia biashara zinalipa. Barikiwa sana
 

Linafaa,
Hata mimi nimechukua upande huo huo wa machweo ya jua. Hata staff wa IFM walikuwa wanatafuta eka 200 upande ule ule kwa ajili ya makazi. Sijui wameishia wapi. Ila sio usoni kwa njia ya kwenda bagamoyo, huko kumejaa kabisa mkuu.
 
I see, asante Malila, nitafika pande hizo karibuni nipe contacts za hao watendaji au pm kama unaona watasumbuliwa. Maeneo ya vyuo ni muhimu huduma hazikosekani na pia biashara zinalipa. Barikiwa sana

Angalia ktk inbox yako, nimekupa simu ya dada yangu, wewe mwambie mimi nimekupa. Baada ya kufika kule ndio utaamua kama ununue au la.
 
Linafaa,
Hata mimi nimechukua upande huo huo wa machweo ya jua. Hata staff wa IFM walikuwa wanatafuta eka 200 upande ule ule kwa ajili ya makazi. Sijui wameishia wapi. Ila sio usoni kwa njia ya kwenda bagamoyo, huko kumejaa kabisa mkuu.

Mungu akubariki sana,nimeku PM kwa msaada wako zaidi.
 
Nunua kiwanja maeneo ya Mbezi kwa Msuguri (Temboni, Msingwa) na Kifuru, Dar es Salaam na Kisarawe.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na ndugu Oswald Sh. Richard kwa simu namba :
00255784342632 au +255767342632
E-mail : cosiastore@yahoo.fr
Viwanja vipo katika maeneo yanayofaa kujenga nyumba za biashara au za kifamilia.
Bei ni makubaliano baada ya mazungumzo na mwenye kiwanja juu ya ukubwa wa eneo unalohitaji. Andaa tu michuzi ununue kulingana na mahitaji yako.
Mwananchi, au mtanzania yeyote anayehitaji habari au taarifa kuhusu viwanja hivyo asisite kuuliza au kutembelea maeneo hayo kwa uhuru kabisa.
Ndugu Oswald Richard SH. wa Dar, Tanzania
 

vipi shamba umeisha pata?? kama bado nipigie namba hizo 0755371297 na 0714753579 tuongee
 

Mkuu tunaomba mrejesho/feedback kuhusu hii issue
 
Tuna shamba Kinyerezi. Huenda likakufaa.
Tuwasiliane kwa simu namba 0784342632.
Siku njema
 
Mashamba yanauzwa Kisarawe.
Bei kwa ekari moja ni Tshs. 1.5m (Milioni moja na nusu).
Kuna umbali wa kilomita 60 kutoka Ubungo.
Mashamba yamepimwa ila bado hati.
Kuna jumla ya ekari 267.
Maji yapo ya visima vya kuchimba ardhini.
Barabara inapitika vizuri.
Wateja ni wengi. Wahi usije kujilaumu baadaye.
Wasiliana na Oswald kwa simu namba 0784342634 au 0767342632
Au E-mail : cosiastore@yahoo.fr
 
muuliize Chimbuvu atakusaidia kuhusu hayo mashamba unayohitaji

 
Last edited by a moderator:
Kk malila nami nahitaji eneo huko miono naomba msaada wko bei na usalama ni pm plz
 
Kutokea mbezi mwisho kuna njia? ni umbali gani? Kuna watu wamejenga au bado mapori?
 
Shamba lenye sifa zote hizo lipo Kiwangwa km 35 kutoka Bagamoyo (Barabara ya Bagamoyo-Msata),kama uko serious tuwasiliane 0784548641
 
Nilikuwa shamba ndo maana sikuiona hii meseji yako. Nimekupm
Mkuu, Malila

Naomba unisaidie kwa uelewa wako,na mwingine yeyote ambaye ni mwelewa.
Je kuna mbegu za kisasa za maharage au ni kwa mahindi tu na mazao mengine.
Unaonaje hali ya hewa ya mkoa wa Manyara kwa kilimo cha maharage,maana nina wazo la kutafuta mashamba ya kukodi huko Manyara,na nataka msimu ujao nipande nilime maharage yenyewe bila mchanganyiko wa zao lolote lingine,nimeamua nipande maharage kwa vile ni zao la mda mfupi iwapo kutakuwa na upungufu wa mvua.
Je kwa uzoefu wako,hekari moja ya maharage kwenye mavuno unaweza kupata gunia ngapi?
 
Last edited by a moderator:

Ngoja nikuunganishe na mtalaam wa Soya toleo jipya,ndo anafanyia tafiti sasa.Angalia pm
 
Habari za leo.
Kinyerezi panafaa kama shamba na pia kama kiwanja. Kuna viwanja 14 na kama utachukua vyote unaweza kujenga na kulima au kufuga. Unaweza kutembelea eneo hilo kujionea mwenyewe. Wasiliana na Oswald kwa namba 0767342632 au 0784342632. Nakutakia jumapili njema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…