Satisfier
Member
- Nov 24, 2016
- 54
- 78
Habari zenu!
Kama unajua mtu anayekodisha shamba maeneo ya Arusha hasa Mushono, naomba mawasiliano yake.
Napenda bustani tangu utoto, nilikuwa na kibustani changu hadi siku moja nililisha shule nzima mboga za majani
Nataka kulima mbogamboga zote kwa kilimo cha umwagiliaji. Nahitaji heka 2. Bajeti yangu ni laki 5 kwa miezi 6.
Asanteni wanaJF
Kama unajua mtu anayekodisha shamba maeneo ya Arusha hasa Mushono, naomba mawasiliano yake.
Napenda bustani tangu utoto, nilikuwa na kibustani changu hadi siku moja nililisha shule nzima mboga za majani
Nataka kulima mbogamboga zote kwa kilimo cha umwagiliaji. Nahitaji heka 2. Bajeti yangu ni laki 5 kwa miezi 6.
Asanteni wanaJF