Natafuta shamba la kukodi Iringa, Morogoro au Pwani

Natafuta shamba la kukodi Iringa, Morogoro au Pwani

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,303
Habari wadau wa JamiiForums,

Ee bana mimi natafuta shamba la kukodi heka moja liwe karibu na chanzo cha kudumu cha maji kwa ajili ya kufanya kilimo cha umwagiliaji.

Eneo linatakiwa liwe na udongo tifutifu au kichanga iliyochanganya na tifutifu.

Kwa mwenye nalo au anayejua mwenye nalo ani PM plz.

Mrejesho:shamba nimeshapata, ila uzi unaweza ukaendelea kwa manufaa ya wengine pia

thanks
 
Shamba lipo pwani ,liko ndani ya fence kisima kerefu kupandisha maji kwa pump na GEnereta .


Bei gani ofa yako?
 
lipo 1 acre, 2 acres na 3 acres Iringa kwenye scheme ya umwagiliaji 24/7 toa offer
 
Albimany eneo lako hilo la Pwani lina ukubwa gani na unakodisha kwa sh ngap

Mkuu eneo ni eka 7 ila natumia kwa mifugo (kuku) eka tatu hadi nne sitaweza kukudisha zaidi ya eka mbili.

Eneo liko Kisenvule kilo mita moja kuroka barabara ya lami iko njia tagari hadi sehemu husika.

Ardhi ni ya tifu tifu kama ulivyotaka.
Kuhusu bei nipe offa kwasababu sijawahi kufanya biashara hio.

Maji utapandisha kwa Diezel lipo janareta na juu ziko lita elfu10 (tank).
 
Mkuu eneo litakodishwa kwa laki tatu,

Eneo nizuri na ardhi ni nzuri na lipo pahala pazuri .

Katika eneo wapo Mbwa wakali wawili waulinzi yuko kijana wangu anaishi hapo . Nimejenga mabanda manne na choo mtu anaweza lala hapo hapo au kuhifadhia mazao nimeweka umeme wajua. Pia ukihitaji tunaweza kuzungumza kuhusu chumba.

Kuhusu matumizi ya maji Pandisha kiwango chochote kwa matumizi yako Ya umwagiliaji au unganisha irrigation system hadi shambani kwako .

Eneo lako nitafunga waya ili kuku wasiingie kukuharibia .

Kama unaswali uliza tena.
ImageUploadedByJamiiForums1456883930.611401.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1456883986.666523.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1456884040.039587.jpg


Hilo ndio eneo husika.
 
Ni mkoa wa pwani baada ya kongowe kabla ya kufika mkuranga.

Chukua basi lakuelekea mbagala rangi tatu hapo utabadilisha kuelekea mkuranga , ukivuuka kongowe tu kwambele kidogo.

Unaweza ulizia tu .

Kutotoka k/koo ni kama 35 kilomita kama sijakoea. Au ni ni wastani wa takika 45 kwa gari yako mwenyewe inategemea hali ya foleni itakuaje.
 
Ni mkoa wa pwani baada ya kongowe kabla ya kufika mkuranga.

Chukua basi lakuelekea mbagala rangi tatu hapo utabadilisha kuelekea mkuranga , ukivuuka kongowe tu kwambele kidogo.

Unaweza ulizia tu .

Kutotoka k/koo ni kama 35 kilomita kama sijakoea. Au ni ni wastani wa takika 45 kwa gari yako mwenyewe inategemea hali ya foleni itakuaje.
Naomba namba kaka
 
Mrejesho:shamba nimeshapata, ila uzi unaweza ukaendelea kwa manufaa ya wengine pia

thanks
 
Back
Top Bottom