bwegebwege
JF-Expert Member
- Jul 30, 2010
- 1,071
- 185
Habari zanu,
Natafuta shamba la kununua (siyo viwanja) kwa ajili ya kilimo na ufugaji, kuanzia ekari 5 hadi 10. Eneo liwe na ardhi nzuri kwa kilimo na ufugaji, maji yawe yanapatikana shambani au karibu, eneo lisiwe mbali na barabara na miundombinu ya umeme, pawe panafikika kwa urahisi
Kama kuna anayemfahamu muuzaji tafadhali tuwasiliane
Asante
Natafuta shamba la kununua (siyo viwanja) kwa ajili ya kilimo na ufugaji, kuanzia ekari 5 hadi 10. Eneo liwe na ardhi nzuri kwa kilimo na ufugaji, maji yawe yanapatikana shambani au karibu, eneo lisiwe mbali na barabara na miundombinu ya umeme, pawe panafikika kwa urahisi
Kama kuna anayemfahamu muuzaji tafadhali tuwasiliane
Asante