Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 4,159
- 11,474
Nina eneo katika makazi yangu nimelitenga kujenga nyumba ya ghorofa 3. Chini (basement) frame za biashara, floor ya kwanza ni kwa ajili ya bar & restaurant yenye counter ya bar, jiko, na vyoo.
Floor ya pili ni ukumbi wa mkutano/semina/ibada/ Harusi n.k. yaani ni multipurpose kwa shughuli aina hiyo.
Floor ya tatu ni nyumba ya kuishi yenye vyumba vitatu vya kulala (self) Kwenye roof pawepo na eneo la kuweka tanki la maji lita 3000. Eneo la kiwanja ni square mita 490 na limezungukwa na barabara Mashariki, Kasikazini, na Magharibi. Kusini ndo kuna nyumba yangu ninayoishi.
Natafuta mtu wa kunicholea ramani
Floor ya pili ni ukumbi wa mkutano/semina/ibada/ Harusi n.k. yaani ni multipurpose kwa shughuli aina hiyo.
Floor ya tatu ni nyumba ya kuishi yenye vyumba vitatu vya kulala (self) Kwenye roof pawepo na eneo la kuweka tanki la maji lita 3000. Eneo la kiwanja ni square mita 490 na limezungukwa na barabara Mashariki, Kasikazini, na Magharibi. Kusini ndo kuna nyumba yangu ninayoishi.
Natafuta mtu wa kunicholea ramani