Natafuta Rafiki Wa Kike Wa Kumjali

Natafuta Rafiki Wa Kike Wa Kumjali

to be honest nina kibabu tayari, hakina meno ila ndio kinaniweka mjini...sasa na wewe niambie kama pochi yako kubwa nikufikirie....:wink2::wink2::embarrassed:
.
Wrong Number Mdada . . . kuna kigezo hiki:

Awe na tabia njema na asiwe na tamaa mbaya

Kila la heri na Kibabu chako kama bado kinazo. Maana najua kikishakuwa Olosto utakitema tu. Dunia haina wema sometimes. U know?
 
.
Wrong Number Mdada . . . kuna kigezo hiki:



Kila la heri na Kibabu chako kama bado kinazo. Maana najua kikishakuwa Olosto utakitema tu. Dunia haina wema sometimes. U know?


goodluck in your search mzee mwenzangu,mie bado naponda maisha na kibabu changu kikiendelea kumwaga madolari ndivyo na mapenzi motomoto kitapata,otherwise....:hand::hand::wink2:
 
goodluck in your search mzee mwenzangu,mie bado naponda maisha na kibabu changu kikiendelea kumwaga madolari ndivyo na mapenzi motomoto kitapata,otherwise....:hand::hand::wink2:

Mmh we haya wee . . . Mtu Mzima Dawa! Enjoy. Hatari lakini salama.
 
huko xoxo ndo wapi tena mbona mie wa kujijini sielewi hayo mashekolo mageni atii hahahhaha

Wewe ndo utuamie angalia upande wa kulia wa Avatari yako kwenye details za Join Date, Posts na Likes. Location yako ni wapi?

Afu niaje huyo mtoto uliyembeba? Mbona rangi tofauti na wewe?
 
Hahaha imani inaniniongoza mwenzio, likiwa jambo baya Mungu huligeuza na kuwa salama.lol,

Hili nalo neno . . . . Imani inaweza kuhamisha milima unajua.

Ni upepo tu . . . hili nalo litapita . . . lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom