Chica Gee
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 3,365
- 9,471
Hatari sana 😁Unatoa msaada baadaye unajilaumu!
Hata mbinguni hupokelewi...😄
Hatari sana 😁Unatoa msaada baadaye unajilaumu!
Hata mbinguni hupokelewi...😄
Asante sana Mkuu, lakini kwa sasa sipo tayari. Subiri watakuja tu wapo wengi sana mbonaNjoo tuwe marafiki tunabqdilishana mawazo ya maisha na mamb mengine kupeana michongo ya kibiashara....njoo pm nikupe namba yangu
Naomba michongo wa kazi au biashara... Unahitaji nini nikusaidie au tusaidiane... Nipo vizuri mambo ya kompyuta na IT kwa ujumla kama unahitaji huduma nipo ...mambo ya mitandao ya kijamii kibiashara kujitanganza nipoAsante sana Mkuu, lakini kwa sasa sipo tayari. Subiri watakuja tu wapo wengi sana mbona
Una michongo gani ya kazi au biashara kwa Sasa ambayo unaweza nipa kijana hapa nipo vizuri kwenye ufundi kompyuta,mashine ,mitambo na mambo ya IT (tehama)....vipi unajishughulisha na nini?Asante sana Mkuu, lakini kwa sasa sipo tayari. Subiri watakuja tu wapo wengi sana mbona
Bro hapa unaanza kuharibu.Una michongo gani ya kazi au biashara kwa Sasa ambayo unaweza nipa kijana hapa nipo vizuri kwenye ufundi kompyuta,mashine ,mitambo na mambo ya IT (tehama)....vipi unajishughulisha na nini?
Pole mkuu.Kafunga PM yake
Kwa Sasa Sina.Mkuu unamichongo gani tupeane Mimi fundi PC kompyuta,mashine ,mambo ya IT(Kuunda tovuti (website),kuweka matangazo ya biashara Facebook, Instagram n.k....
Kuna website niliwahi unda sema mmiliki alikuja mbeleni kuweka kitu kingine....kwahiyo Sina kazi ya kuonesha...Kwa Sasa Sina.
Ikitokea nitakutafuta.
Weka link ya portfolio ya kazi zako mfano website au mob App,n.k.
Ili mimi na wengine tuone ubora wa kazi zako.
sawa fundi mitamboo ?, subiri waje wakupe mwongozo,Mimi ni fundi mitambo.
Onhoo upo vizuri kwa kweli, natamani kukupa michongo ila 😁 sina hiyo michongo mkuu. Mimi mwenyewe ni jobless bado nahangaikaNaomba michongo wa kazi au biashara... Unahitaji nini nikusaidie au tusaidiane... Nipo vizuri mambo ya kompyuta na IT kwa ujumla kama unahitaji huduma nipo ...mambo ya mitandao ya kijamii kibiashara kujitanganza nipo
Lakini amenishitakia umetufungia PM.😁😁 Asante kwa kunitetea Mkuu
😎😎 ndiyo acha ibaki hivyo hivyo, sitaki matatizo kwa kweliLakini amenishitakia umetufungia PM.
Hii siyo haki lakini. Unavunja haki za binadamu eti!
Tuna Uhuru na haki ya kujieleza. Lakini nawe una haki ya kutukatalia maelezo yetu.