Kuwa makini kuna mabasha humuNatafuta rafiki mwanamke nipo Dar es salaam, Mbezi ,wakupiga nae stori, mambo ya maisha..n.k. Nina umri wa miaka 28,dini Mkristo ,Mimi ni fundi mitambo.
Karibu PM / Inbox nikupe namba
Mkuu wewe hutaki hii fursa ya kupata rafiki mpya?Subiri wanakuja Mkuu
Hapana Mkuu, sihitajiMkuu wewe hutaki hii fursa ya kupata rafiki mpya?
Kwanza kabisa nachukua nafasi hii kulishukuru baraza la mawaziri , namshukuru Mh. Rais Dr.Samia H. Suluhu itifaki imezingatiwa .Subiri wanakuja Mkuu
😀😀😀 daah una uhakika gani kama mimi ni Ke mkuu?Kwanza kabisa nachukua nafasi hii kulishukuru baraza la mawaziri , namshukuru Mh. Rais Dr.Samia H. Suluhu itifaki imezingatiwa .
Natumia nafasi hii kukwambia Chica Gee nakupenda naomba nikuoe
Basi sawa.Hapana Mkuu, sihitaji
😀😀, aisee kwamba kila mtu ajipambanie kivyake Mkuu?Basi sawa.
Ungesema unahitaji mimi ningekuja mwenyewe.
Maana sijakuuliza kama unahitaji kwa mleta mada.
Kwa mimi nilieishi Spain muda mrefu nikiwa naishi jirani kabisa na Nyumba ya Messi najua Chica maana yake ni Binti😀😀😀 daah una uhakika gani kama mimi ni Ke mkuu?
Ndiyo hivyo mkuu.😀😀, aisee kwamba kila mtu ajipambanie kivyake Mkuu?
Siyo vizuri MkuuNdiyo hivyo mkuu.
Mimi siwezi kumpambania mtu kesho aje kutunanga wote humu na kututukana hamna mwanamke mzuri kuliko wangu. Hamna jicho la kuona vikali kama mimi, n.k.😀😀, aisee kwamba kila mtu ajipambanie kivyake Mkuu?
Unatoa msaada baadaye unajilaumu!Siyo vizuri Mkuu
Kama ipo hivyo basi kila mtu ajipambanie mwenyewe tu 🤣, ili mambo yasiwe mengiMimi siwezi kumpambania mtu kesho aje kutunanga wote humu na kututukana hamna mwanamke mzuri kuliko wangu. Hamna jicho la kuona vikali kama mimi, n.k.
Hizo dharau sizitaki.