Natafuta partner wa kwenda zanzibar

Natafuta partner wa kwenda zanzibar

Nafasi imejaa? maana ntakwenda Zenji kwenye training tunaweza kuandamana.. kama utasafiri wiki ijayo lakini
 
Miss natafuta nafasi imejaa au bado nitume maombi
 
Kwani haujaona huo mfano wangu huko juu? Mbona nimeshawahi kufanya hayo na wanaume zaidi ya watatu katika mazingira na vipindi tofauti tena wote marijali na kati yao hakuna aliyenifanya chochote na sasa hivi wameoa na wana watoto na mimi nimeolewa na nina watoto kila mtu na maisha yake ndo maana nikasema usilazimishe kila kitu kiwe kama unavyoamini au unavyotaka wewe

Na kitu kama wewe haukiwezi basi haimaanishi kwamba na wengine wote hawakiwezi kama unavyodhani ila sikulaumu maana hata mimi kabla niliamini kama wewe kwamba wanaume wanapenda na wanawaza ngono muda wote hadi nilipokutana na hao na wala hata haikuwa lengo langu kufanya utafiti ila ilitokea tu sikuamini ila ndo ilitokea nikaja kuamini kwamba wanaume mnatofautiana kama tu wanawake tunavyotofautiana hautaki sikushikii fimbo uamini maana hata ukikataa wewe bado haibadilishi ukweli
hao Watatu uliowafanyia majaribio basi huenda waliona chura yako hairukiruki au huenda ni flat kabisa kwahiyo kidg inapunguza mshawasha
 
Maisha magumu bna ila we live once atii
Mimi bwana sina dhambi nyingi kiivo,sinywi pombe Wala sigegedwi kwaiyo nataka nienjoy maisha kwa kusafiri.
Sasa nataka nianze safari zangu hapa hapa nchini.
Natafuta rafiki wa kusafiri nae cause I want to try new things as well,new ideas,new friends I hope mmenielewa wakuu.
Sasa kama unaona una sifa tuwasiliane.hela ninazo ila uwe na hela. Na usiwe na ndoa sitaki stress mie japo sio kwamba nakuitaji kimapenzi.
Ila jinsia ya kike nayo pia inakaribishwa

Nitakufaa au unataka aliyeje?

Nipe logistics kama vipi.
 
Back
Top Bottom