Natafuta Paka

wakigundua wanakukomesha na wewe kwa kuwatesa..
 
Kama vinatembea naomba
vipe atleast mwezi or so chini ya hapo ukiwatoa kwa mama yao wanakuwa prone to deseases kwaninkinga yao inakuwa ndogo kwa kukosa maziwa ya mama!
 
vipe atleast mwezi or so chini ya hapo ukiwatoa kwa mama yao wanakuwa prone to deseases kwaninkinga yao inakuwa ndogo kwa kukosa maziwa ya mama!
Maziwa ya ng'ombe hayawasaidii kwani
 
Mkuu nakushauri tafuta paka mikoani tu, maana paka wa Dar matatizo tupu
 
huu uzi umekuwa burudani tosha kwangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…