mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Kama Uzi unavyosema, natafuta paka kwa udi na uvumba. Yeyote mwenye paka mdogo ambaye ameacha kunyonya tuwasiliane kuanzia jukwaani hapa. Hata kwa Kibaha, Dar, hadi Mkuranga, na Kisarawe pia Bagamoyo maeneo yote hayo niko tayari kumfuata.
Karibuni.
Naishi Dar es Salaam.
Karibuni.
Naishi Dar es Salaam.