House4Rent Natafuta nyumba ya kupanga Kigamboni

House4Rent Natafuta nyumba ya kupanga Kigamboni

Nrangoo

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
3,422
Reaction score
5,479
Habari ya wakati huu wadau.

Nahitaji nyumba ya kupanga Kigamboni , haswa eneo la Mjimwema au Gezaulole .

Sifa : Nyumba iwe na master bedroom, Sebule na Jiko, isiwe mbali na barabara, Umeme na Maji viwepo.

Kwa mwenye kuweza kunifanikishia hitaji hilo tafadhali naomba tuwasiliane.

Natanguliza Shukrani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom