Natafuta Nyama pori kwa DSM

Natafuta Nyama pori kwa DSM

Bitabo

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
1,900
Reaction score
689
wadau nahitaji nyama pori (swala, kongoni) and the likes kwa ajili ya kitoweo. kwa mwenye kujua inapopatikana kwa DSM naomba anisaidie.
 
Nenda Joly, nafikiri utapata!
 
wadau nahitaji nyama pori (swala, kongoni) and the likes kwa ajili ya kitoweo. kwa mwenye kujua inapopatikana kwa DSM naomba anisaidie.


Jamaa yangu kumbuka tumeonywa kuwa dunia imeharibika, Dar ina mchanganyiko wa watu wanaweza kukuletea chochote, kule Mji kasoro bahari kuna jamaa alikuwa maarufu wa kuuza hizo nyama, baada ya kuwa order zimekuwa nyingi na wanyama ni shida kuwapata akawa anadungua wale wenye vipara karibu na mkia.
 
  • Thanks
Reactions: ERO
Jamaa comment ya2 lime-quote, we ni noma marxlups
 
umenikumbusha kuna jamaa yangu wa karibu sana somebdy kalalambe....sahv watakua kwnye kuwinda maana ndiyo msimu..kwa hiyo mtaka nyama pori jitahidi uwapate wanaokwenda winda utapata nyama safi
 
umenikumbusha kuna jamaa yangu wa karibu sana somebdy kalalambe....sahv watakua kwnye kuwinda maana ndiyo msimu..kwa hiyo mtaka nyama pori jitahidi uwapate wanaokwenda winda utapata nyama safi

nisaidie mawasiliano yao mkuu
 
Nenda pale Makongo juu mwisho-kuna jamaa anauza nguruwe pori pale.
 
kuwa mwangalifu sana mkuu na hizo Nyama pori manake ebola yenyewe imetoka porini.. hata kale kaugonjwa kule Congo kalitokea porini. Afya muhimu
 
Ndovu wamekwisha sasa hv ni za me ya hao swala.
 
nisaidie mawasiliano yao mkuu

sawa ntakupa mkuu na nyama ya pori inauzwa wakati mtu katoka kuwinda ndiyo wanauza wewe unataka kg ngapi? niambie ntaku pm namba ya jamaa yangu hiwa anakwendaga sana kuwinda sahv yenyewe wataenda porini
 
na kg 1 ya swala na kongoni ni sh 7000/.. Bitabo
 
Last edited by a moderator:
Kwa Dar, nyama pori ya swala nenda Break Point, pale opp. Milenium Towers na town opp. Billcanas, zamani ilikuwa Posta Club.

Au nenda Carnival pale Msasani Beach siku za Ijumaa na Jumamosi!.

P.
 
unataka ya kukausha au mbichi? Kama ya kukausha kwa njia ya kisasa au ki-traditionl
 
Kwa Dar, nyama pori ya swala nenda Break Point, pale opp. Milenium Towers na town opp. Billcanas, zamani ilikuwa Posta Club.

Au nenda Carnival pale Msasani Beach siku za Ijumaa na Jumamosi!.

P.


Vipi TBS/TFD wanatupia macho hayo maeneo ili kujiridhisha na ubora wake
 
Nyote mko sirias hii nyama inapatikana hapa mjini ?
Sasa mbona hamkusemaga mapema maana kila siku nakula ktmoto mpaka tumbo limejaa minyoo. Hapo Jolly inapatikana kuanzia saa ngapi ?
 
Nyote mko sirias hii nyama inapatikana hapa mjini ?
Sasa mbona hamkusemaga mapema maana kila siku nakula ktmoto mpaka tumbo limejaa minyoo. Hapo Jolly inapatikana kuanzia saa ngapi ?
ehe ngoja waje mkuu
 
.. Bitabo nshaku pm # ya wazee wa kuwinda na watakuletea nyama fresh achana na nyama pori zinazokaaa sanaaaa
 
Last edited by a moderator:
Kwanini usiibuke porini kabisa kuwasaka mwenyewe uthibitishe kuwa ni halisi?
 
Jamaa yangu kumbuka
tumeonywa kuwa dunia imeharibika, Dar ina mchanganyiko wa watu wanaweza
kukuletea chochote, kule Mji kasoro bahari kuna jamaa alikuwa maarufu wa
kuuza hizo nyama, baada ya kuwa order zimekuwa nyingi na wanyama ni
shida kuwapata akawa anadungua wale wenye vipara karibu na mkia.

Eti nini? U mean ny.a.n.i? Umenikumbusha Ludewa, hiyo ndiyo mboga yao ya kifahari kwa sasa!
 
Back
Top Bottom