LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,899
- 37,699
wadau nahitaji nyama pori (swala, kongoni) and the likes kwa ajili ya kitoweo. kwa mwenye kujua inapopatikana kwa DSM naomba anisaidie.
Huogopi Ebola mkuu? Natania tu!
wadau nahitaji nyama pori (swala, kongoni) and the likes kwa ajili ya kitoweo. kwa mwenye kujua inapopatikana kwa DSM naomba anisaidie.
Ndovu wamekwisha sasa hv ni za me ya hao swala.
wadau nahitaji nyama pori (swala, kongoni) and the likes kwa ajili ya kitoweo. kwa mwenye kujua inapopatikana kwa DSM naomba anisaidie.
Eti nini? U mean ny.a.n.i? Umenikumbusha Ludewa, hiyo ndiyo mboga yao ya kifahari kwa sasa!
Kwa Dar, nyama pori ya swala nenda Break Point, pale opp. Milenium Towers na town opp. Billcanas, zamani ilikuwa Posta Club.
Au nenda Carnival pale Msasani Beach siku za Ijumaa na Jumamosi!.
P.
umenikumbusha kuna jamaa yangu wa karibu sana somebdy kalalambe....sahv watakua kwnye kuwinda maana ndiyo msimu..kwa hiyo mtaka nyama pori jitahidi uwapate wanaokwenda winda utapata nyama safi
Angekua amewapata angeleta hii mada?
MPE connections sasa
mkuu kwenye ujumbe wangu nimesema swala, kongoni na wengine kutegemea na upatikanaji