QueenQueen
Member
- Oct 6, 2011
- 26
- 17
- Thread starter
- #61
Ndoa za siku hz sio za zamani,watu wanaachana kila kukicha kwa sababu mbali mbali,there are few good men out there wameachika they need a second chance.
Aiseee! Awe mkristo,ana hofu na Mungu then awe ameachika au na mtoto, hv wakristo kuna kuachika kweli?!
Anyway all the best mamdogo.