Naunga mkono hojaKawekeze Dodoma ndo mji unakua
Hahaha ahamishe na viwanja vyake?! Au labda viko Dodoma tayari huwezi jua.Kawekeze Dodoma ndo mji unakua
Ushauri mzuri.Ni wazo zuri sana Mkuu Ila kwa mimi ningekushauri hivi.. Andaa kila kinachohusiana na project yako ikiwa ni pamoja na Hati miliki ya maeneo husika then nenda kwenye financial Inst. washawishi kwa kutumia mpango wako wa biashara husika na viwanja vyako kama dhamana yako kwao, Wakiona kuna potential ya kupata faida lazima watawekeza au kukupa kiasi cha fedha kumudu ujenzi then utalipa pale unavyoanza kulipwa rent.