Natafuta life partner wa kike

BonventureSr

Senior Member
Nov 16, 2023
171
252
Hello wanajamvi,

Mimi ni kijana Mwenye miaka 34. Nina watoto wa 2. Nimezaa na mke mmoja. Tulifunga ndoa ya kanisani ila hatukufanikiwa kufika mbali after 7 years tumevunja ndoa mahakamani. Sasa niko huru natafuta mwenza mwingine.

Ni muajiliwa Kampuni Binafsi.
Niko Dar es salaam.

Please PM me if interested.

Nafikiri tuanzie hapo.
 
Ooh, Pole sana kwamba ndoa yenu haikuweza kudumu zaidi.

Kama hautojali, kwanini mliamua kuachana? Ulimkosea?

Asante, to be honest nilikosea i cheated while tuko in long distance in 4 years alikua mkoani. Aliporudi Dar aligundua tukaanza kugombana, Kaenda mahakamani akidai talaka.


Niseme kweli alipofika hiyo stage ya mahakamani sikutaka tena kurudiana nae cz ni hatua ngumu kwangu na siko tayari kumpokea tena.

Kama kijana wa kiume i had to report it to her parents wakakataa hatua tuliyofikia na kutushauri turudi kwa ndoa akakubali ila binafsi moyo wangu ulishaingia ganzi.

Mimi ni kijana natafuta kwaajili ya kizazi changu yeye anapambana kwenda mahakamani kugawana nyumba nikimrudisha atakuja kunisumbua wakati nimechuma vingi tugawane tena. Wakati nimepanga kuwekeza kwa ajili ya wanangu huko mbeleni ni kugumu sitaki wategemee ajira kama mimi.

Nina vitu nafanya but siko huru navyo nina miradi but naandikisha jina la dada yangu Tin natumia ya sister kuepuka usumbufu
 
Asante, to be honest nilikosea i cheated while tuko in long distance in 4 years alikua mkoani. Aliporudi Dar aligundua tukaanza kugombana, Kaenda mahakamani akidai talaka.


Niseme kweli alipofika hiyo stage ya mahakamani sikutaka tena kurudiana nae cz ni hatua ngumu kwangu na siko tayari kumpokea tena.

Kama kijana wa kiume i had to report it to her parents wakakataa hatua tuliyofikia na kutushauri turudi kwa ndoa akakubali ila binafsi moyo wangu ulishaingia ganzi.

Mimi ni kijana natafuta kwaajili ya kizazi changu yeye anapambana kwenda mahakamani kugawana nyumba nikimrudisha atakuja kunisumbua wakati nimechuma vingi tugawane tena. Wakati nimepanga kuwekeza kwa ajili ya wanangu huko mbeleni ni kugumu sitaki wategemee ajira kama mimi.

Nina vitu nafanya but siko huru navyo nina miradi but naandikisha jina la dada yangu Tin natumia ya sister kuepuka usumbufu

Ndoa za long distance zina drama nyingi sana
 
Asante, to be honest nilikosea i cheated while tuko in long distance in 4 years alikua mkoani. Aliporudi Dar aligundua tukaanza kugombana, Kaenda mahakamani akidai talaka.


Niseme kweli alipofika hiyo stage ya mahakamani sikutaka tena kurudiana nae cz ni hatua ngumu kwangu na siko tayari kumpokea tena.

Kama kijana wa kiume i had to report it to her parents wakakataa hatua tuliyofikia na kutushauri turudi kwa ndoa akakubali ila binafsi moyo wangu ulishaingia ganzi.

Mimi ni kijana natafuta kwaajili ya kizazi changu yeye anapambana kwenda mahakamani kugawana nyumba nikimrudisha atakuja kunisumbua wakati nimechuma vingi tugawane tena. Wakati nimepanga kuwekeza kwa ajili ya wanangu huko mbeleni ni kugumu sitaki wategemee ajira kama mimi.

Nina vitu nafanya but siko huru navyo nina miradi but naandikisha jina la dada yangu Tin natumia ya sister kuepuka usumbufu
Pole OP.
Nakutakia heri katika kutafuta kwako. Ukampate aliye sahihi na atakayekupenda wewe na watoto wako na atakayeshirikiana na wewe kulinda urithi unaoandalia watoto wako.
Ila jitahidi usi mcheat utakayempata.
 
Asante, to be honest nilikosea i cheated while tuko in long distance in 4 years alikua mkoani. Aliporudi Dar aligundua tukaanza kugombana, Kaenda mahakamani akidai talaka.


Niseme kweli alipofika hiyo stage ya mahakamani sikutaka tena kurudiana nae cz ni hatua ngumu kwangu na siko tayari kumpokea tena.

Kama kijana wa kiume i had to report it to her parents wakakataa hatua tuliyofikia na kutushauri turudi kwa ndoa akakubali ila binafsi moyo wangu ulishaingia ganzi.

Mimi ni kijana natafuta kwaajili ya kizazi changu yeye anapambana kwenda mahakamani kugawana nyumba nikimrudisha atakuja kunisumbua wakati nimechuma vingi tugawane tena. Wakati nimepanga kuwekeza kwa ajili ya wanangu huko mbeleni ni kugumu sitaki wategemee ajira kama mimi.

Nina vitu nafanya but siko huru navyo nina miradi but naandikisha jina la dada yangu Tin natumia ya sister kuepuka usumbufu
Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom