BonventureSr
Senior Member
- Nov 16, 2023
- 171
- 252
Hello wanajamvi,
Mimi ni kijana Mwenye miaka 34. Nina watoto wa 2. Nimezaa na mke mmoja. Tulifunga ndoa ya kanisani ila hatukufanikiwa kufika mbali after 7 years tumevunja ndoa mahakamani. Sasa niko huru natafuta mwenza mwingine.
Ni muajiliwa Kampuni Binafsi.
Niko Dar es salaam.
Please PM me if interested.
Nafikiri tuanzie hapo.
Mimi ni kijana Mwenye miaka 34. Nina watoto wa 2. Nimezaa na mke mmoja. Tulifunga ndoa ya kanisani ila hatukufanikiwa kufika mbali after 7 years tumevunja ndoa mahakamani. Sasa niko huru natafuta mwenza mwingine.
Ni muajiliwa Kampuni Binafsi.
Niko Dar es salaam.
Please PM me if interested.
Nafikiri tuanzie hapo.