Angalia usijejikuta umetimiza 50 bado uko under your parents roof ohoo,Kimefiti kabisa.Awe na huruma kwenye ajira/kipato.Kila nikitaka kuondoka kwa wazazi wananikatalia.Wananiambia mimi ningali kijana mdogo mtaani nitahangaika.Basi, ndiyo nimekaa tu hapa.Ila safari hii sikubali.Lazima nioe.
Sijaolewa, ila nina mume.Coca kwani wewe umeshaolewa?🤔
Dont quote me to read nonsense from that guy. Tafadhalini sana
Haha mume kama maneno yenu ya kujibebisha au ndio ile "Sogea tusonge pamoja"? 😀Sijaolewa, ila nina mume.
Nakubishia!Usikariri Mwanangu wachaga kibao ni madem wakali pisi za maana kabisa, achana na assumption za mitandaoni
Nini sasa
Enyi kizaz cha NyokaHii Inaonesha tupo ukingoni wa mwisho wa dunia.
Ni ajira/kipato tu.Safari hii nauza hata hii simu aliyonipa mama nianze biashara kubwa tu ya kuchuuza karanga na bigi jii/jojo.Angalia usijejikuta umetimiza 50 bado uko under your parents roof ohoo,
Au akili za kataa ndoa zimekung'ang'ania?😂😂
Yaishe mkuu.Dont quote me to read nonsense from that guy. Tafadhalini sana
😅😅emotional damageYaishe mkuu.
Sifai kwako ila kuna ambaye mm ndo mwanamke wa ndoto yake punguza makasiriko bossmaji ya jioni wewe hufai
Huu Uzi asiuone Natafuta AjiraHabari wakuu
Natafuta mwanaume aliemaliza ujana awe tayar kwa ndoa
Sifa zangu
Miaka 33
Kabila mchaga
Dini Mkristo
Sina mtoto
Naishi Dsm
Kazi Biashara
SIfa za mwanaume
Miaka 35 -45
Dini Mkristo
Watoto wasizid 2 km atakua nao
Awe na kipato halali inamaana awe anajishughulisha
Makazi popote Tanzania akiwa Dar na mikoa
ya jiran itapendeza zaidi
NB: Naomba km huna sifa tajwa hapo juu usije pm tafadhali asanteni
Umeanza kumtisha?nkikumbuka tukio nililopgwa na single faza,najikuta kukuhurumiaaaa