Tamatheo
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 3,298
- 1,557
Dada tangu naanza JF leo kwa mara ya kwanza nimekutana na hitaji la kipekee.....Hivi yule mdogo wetu aliyekataa shule darasa la 4 una taarifa zake maana tusipomshtulia hii fursa atakua mzigo kwetu baadae.hivi kumbe ni mmu nkajua nipo jukwaa la nafasi za kazi na tenda