tandabui2021
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 3,120
- 5,362
Mimi Nina miaka 38,nahitaji mama mtu mzima 43+,tuwe kwenye mahusiano,mke nilikuwa naye nimemwacha .
Sihitaji mtu anayepungua umri huo ,nahitaji mama mtu mzima kabisa .
Sifa:
Awe tayari kupima na awe HIV negative
Awe mkarimu
Awe anajiheshimu na kuthamini utu wake
Awe muunimi wa kikristo dhehebu lolote
Awe na shughuli Hali.
Awe na angalau elimu ya kidato Cha nne.
Asiwe mvuta bangia au madawa la kulevya
Asiwe mama lishe.
Asiwe mshirikina.
Kama mtu atakuwa ananihitaji aje inbox
Sihitaji mtu anayepungua umri huo ,nahitaji mama mtu mzima kabisa .
Sifa:
Awe tayari kupima na awe HIV negative
Awe mkarimu
Awe anajiheshimu na kuthamini utu wake
Awe muunimi wa kikristo dhehebu lolote
Awe na shughuli Hali.
Awe na angalau elimu ya kidato Cha nne.
Asiwe mvuta bangia au madawa la kulevya
Asiwe mama lishe.
Asiwe mshirikina.
Kama mtu atakuwa ananihitaji aje inbox