Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 26,769
- 54,208
Nime mkumbuka mtu, kwao walikuwa super Sana.Aweeeeee huyo babe wa kumfata na daladala tunatoboa week kweli???
At first alikuwa ana kuja home na gari yao au yake😁🤣, Baadae Nika mwambia panda bajaji au boda.
Hizo pigo za kishua sizi Taki, mwanzoni alikuwa ana shangaa, ila Alipo zoea ye mwenyewe ali furahia.