Natafuta mwanamke mpweke

Natafuta mwanamke mpweke

Mimi Ngono Kwangu si kipaumbele hata Kidogo..!( Niliwahi kufanya mapenzi kwenye uteenager mara2 tu--Kati ya miaka 15-25 nilipo oa...Miezi sita ya mwanzo baada ya mahusiano kuvurugika nilipata shida kidogo mpaka nikajaribu punyeto kama mara 10 ndani ya miezi hiyo 6 ya mwanzo..Baada ya hapo nika-Stable" Sijawahi fanya huo mchezo tena .. na niko poa tu..!(Kuvuta sijawahi tangu nimezaliwa).. Pombe nimewahi zile za kitoto(Maana nimezaliwa kijijini na tulikuwa tunatengeza pombe za kienyeji) Nadhani kwenye umri wa miaka 12 hivi ndio niacha kunywa Pombe.. Na sitarajii..!
miaka 8 huja do, pombe hunywi? kuna watu wana roho ngumu, kwahiyo maisha umeshayapata yote? wasubiri watakuja hao ambao siku wakikupa utajaza ndoo ya sha.hawa
 
Jamaa yuko serious,nadhani happy atakua keshapata mwenzake.
 
Inaonekana nimewakwaza wengi juu ya "Mlo mmoja kwa siku" Maisha ya watanzania walio wengi( waliomaliza vyuo vikuu na ambao hawajaenda shule maisha yao ni yale yale....! Niwatanzania wachache wenye maisha ya uhakika.... "As Long as I'm on a fight" doesn't mean that I'm and I will always live on Single meal per day....!" Uwezo wa kufanya kazi ninao, kujituma najituma...Sema fursa na bahati ndio bado havijakaa upande wangu.... Lakini ipo siku Mungu atabariki kila kazi ya mikono yangu... Hakika wanao Kimbia mlo mmoja wangu leo uenda wakaja kula kwangu siku za mbeleni.." Dunia hii.. iache kama ilivyo"!!
Duh nilihisi kakosea kuandika! Kumbe kamaanisha mlo mmoja kweli?!! Mungu amsaidie
 
jamani wanawake wengine mwenzenu mi nko tofauti issue ya mlo mmoja au mlo SIFURI sio kipaumbele kwangu je anajituma kutafuta? na akipata ana money displine? ananipenda nakunidhamin? if yes... kuna watu wanahela ila utasononeka kila siku kwa kero. GREAT M ningeingia kwenye mchujo lakini hyo ndoa ya kanisani/hukawii kubadilisha mawazo loooh
 
Nina miaka 37...Hawe ni mwanamke anayejitambua na anajua maana ya maisha....Anayejali na kutambua umuhimu wa mwenzake katika maisha... Nina jiheshimu na ningependa Kupata mwanamke wa haina hiyo...Baada ya ndoa yangu kuwa na mgogoro nina miaka8 sijatembea na mwanamke yeyote yule.... si kwasababu sina hamu au siwaoni....Bali ni uamuzi tu...!

Mwenye anadhani tunaweza kuendana naomba ani PM.

ANGALIZO: Mimi ni mtanzania wa kawaida kabisa Mlo mmoja kwa siku...sinywi Pombe,sivuti, wala kutumia kilevi cha haina yoyote...Hivyo asijitokeze mwanamke anayetaka Majumba na Magari(mimi sina)..Ila napambana ofcourse kupata maisha mazuri ingawa siku yangu haijafika bado..!

tafuta amani kwenye ndoa yako mchepuko co ishu.
 
Usihofu MwaJ waukweli ---Mimi ni mtu mwenye msimamo..! Na miaka8 nimeishi kwa Msimamo pia!..Siwezi kubadili mawazo kwasababu cha kunibadilisha mawazo hakipo....(Angalia..Katika maisha ya Ndoa yangu..Nimejaribu mar nilijaribu mara kadhaa kumfungulia miradi mwenzagu(Kama Salon,mitaji yakununua bidhaa za akina mama na kusafiri..Kwa bahati Mbaya hakufika mbali navyo..Pili(Kila sent niliyoipata ililetwa nyumbani na kumuuliza hii yaweza kufaa kunya kitu gani cha maendeleo)..Kama ni Namna ya matumizi ya Nyummbani yeye ndiye alikuwa akipanga kinunuliwe kipi na kiliwe kipi..........! Kwa namna nilivyompenda na kumthamini ikafika wakati nashindwa kubaki na balance yoyote..Ilimradi pale anapopungukiwa nipajazilizie..Lakini Mambo hayakuwenda....! kwasababu Maendeleo haya kuja haraka na kwa wakati alioutaka yeye...Pressure ikabidirisha namna yangu ya kuwaza na kutenda mpaka nikaharibu kazi nilizo kuwa nazifanya....Ndio Mambo yakawa magumu zaidi......Sasa nadhani nahitaji mshauri mwingine mwenye maono na uvumilivu fulani....pia Mwenye hofu ya Mungu..!
jamani wanawake wengine mwenzenu mi nko tofauti issue ya mlo mmoja au mlo SIFURI sio kipaumbele kwangu je anajituma kutafuta? na akipata ana money displine? ananipenda nakunidhamin? if yes... kuna watu wanahela ila utasononeka kila siku kwa kero. GREAT M ningeingia kwenye mchujo lakini hyo ndoa ya kanisani/hukawii kubadilisha mawazo loooh
 
Hakuna ndoa ya namna hiyo Veronica.Kyamba9 We have good8yrs without Communication..Not even seeing each other in streets.. Hiyo Amani unataka niitafute na hewa/Jini au? Istoshe mwenye alisha jipambanua kuwa anaweza kuishi bila huwepo wangu..! Ahsante kwa comment anyway!!
tafuta amani kwenye ndoa yako mchepuko co ishu.
 
kuna mambo huma aiseee! unaweza ukajipa misifa yooote kumbe hamna kitu! any way kila lakher mkuuuuuu
 
aaaaaaaaaaaaaaaaaah! Evelyn Salt.. Una mambo..! Sidhani...Maana huwa naota Ndoto "Nyevu" wanaitaga.. karibia mara mbili mpaka nne kwa wiki(Inategemea kama sijafanya mazoezi ndio huwa napataga hiyo hali..Na kujikuta Nafua mashuka mara kwa mara...lol!!
Duh miaka 8 hujaonamo!!!
utakuwa na wingu hatari....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom