Natafuta mwanamke mpweke

Natafuta mwanamke mpweke

Mbona nyie watoto waongo waongo sana? Hujatomba miaka 8 na unapima ngoma kila baada ya miezi sita! Hiyo ngoma unaipata kwenye menu?
Cc tumboo

Labda itakuwa haisimami
 
Last edited by a moderator:
duh! we mwanaume kama malaika vile! mlo mmoja kwa siku si ishu kama uko balansdi. asubuhi na mchana ntadowea kazini, watoto watakula mihogo shuleni. pa kulala je?
 
Ha ha ha ha aa umenifurahisha sana but mie mlo mmoja naweza coz asilimia kubwa ya maisha yangu nimeiwekeza katika kufunga na kuomba.

Hahaa si kweli,,unadhan mleta mada anakula mlo mmoja kwakupenda kama wewe? Hali ngumu na nyinyi mabinti wa siku izi wanaume wa aina hii kwenu ni sheedaah...
 
Hahaa si kweli,,unadhan mleta mada anakula mlo mmoja kwakupenda kama wewe? Hali ngumu na nyinyi mabinti wa siku izi wanaume wa aina hii kwenu ni sheedaah...

Sio wote ila sailimia kubwa wapo ipo na kati ya wachache naweza kuwepo cha muhimu tumwombee mleta Uzi apate mke mwema yawezekana uyo Wa kwanza hakua ubavu wake sahii.nachojua ndoa ni pamoja na kuvumiliana ktk kila hali.na upendo Wa kweli yaani Wa agape huwa hauna visababu.
 
Muombe mungu akujalie mke mwema kwa akili za kibinadamu ni ngumu sana kumtambua mke mwema ila kwa mungu yote yanawezekana.usichoke ipo cku utapata mwanamke Wa furaha ya moyo wako.
 
Mimi nimemuelewa vyema mtoa "comment" na nika mujibu inavyostahili..Sasa wewe sijui umenielewa vipi..Hapa mtu anajipima mwenyewe kama anaweza ku-cope na mimi..( Mtaani siwezi kupata muda wa kumfuata mwanamke mmoja baada ya mwingi(hujui ni mke wa Mtu, malaya, au kahaba na kuanza kumueleza matatizo yako....Nadhani tumeelewana..UNLESS huwe unajingine la ziada tofauti na hili..Ahsante na ubarikiwe sana!!
Kwani malaya ndo wanatongozwa au uyo unaemtafuta humu hutomtongoza??
 
Mimi nimemuelewa vyema mtoa "comment" na nika mujibu inavyostahili..Sasa wewe sijui umenielewa vipi..Hapa mtu anajipima mwenyewe kama anaweza ku-cope na mimi..( Mtaani siwezi kupata muda wa kumfuata mwanamke mmoja baada ya mwingi(hujui ni mke wa Mtu, malaya, au kahaba na kuanza kumueleza matatizo yako....Nadhani tumeelewana..UNLESS huwe unajingine la ziada tofauti na hili..Ahsante na ubarikiwe sana!!
Mengine unapotezea tu au unasamehe bure kukàa kimya nalo ni jibu.napenda unabyojibu hoja
 
duuu ila upweke unatesa jamani NA MIMI NATAFUTA ANAYEJUA KUBEMBELEZA nisahau maumivu awe hajawahi funga ndoa. awe na mtoto 1tu kama mimi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom