Natafuta mwanamke mpweke

Natafuta mwanamke mpweke

Hakuna ndoa ya namna hiyo Veronica.Kyamba9 We have good8yrs without Communication..Not even seeing each other in streets.. Hiyo Amani unataka niitafute na hewa/Jini au? Istoshe mwenye alisha jipambanua kuwa anaweza kuishi bila huwepo wangu..! Ahsante kwa comment anyway!!

kumbe..?? haya kila la kheri.
 
Kila mtu ana mtazamo wake na namna yake ya kuwaza na kumpambanua mambo..Sijaja kwenye shindano la kutafuta ushindi wa kuwa nasifa nzuri.....Wala sipo Kumshawishi mtu kwa maneno yangu..Ila ninajibu Comments kulingana na zinavyoulizwa..! Ahsante kwa comment yako"anyway"
kuna mambo huma aiseee! unaweza ukajipa misifa yooote kumbe hamna kitu! any way kila lakher mkuuuuuu
 
Kwa wanao ni PM nashukuru sana kwa muda wao wa kuni-PM..Nitakuja huko punde kuna mambo yamenibana hapa..( Nahitaji kusoma kwa utulivu hicho mlichopeleka huko kwa PM ahsanteni Sana!
 
aaaaaaaaaaaaaaaaaah! Evelyn Salt.. Una mambo..! Sidhani...Maana huwa naota Ndoto "Nyevu" wanaitaga.. karibia mara mbili mpaka nne kwa wiki(Inategemea kama sijafanya mazoezi ndio huwa napataga hiyo hali..Na kujikuta Nafua mashuka mara kwa mara...lol!!

mmmnnnhhhh.!?! Unanipa mashaka. Unaweza ukawa punga wewe.
 
aaah!!!Madame B hiyo ndio itakuwa demand yangu ya mwanzo toka kwa atakayejitokeza(Maana mbali na kukaa mbali na zinaa kwa miaka8 nimekuwa na tabia ya kupima VVU kila baada ya miezi sita..Na hivi juzi tu ndio nimetoka kupima..( Haka ni katabia ambako nilikajenga tangu nikiwa na mahusiano..hivyo hujikuta naenda kupima hata kama huwa na 100% ya kuwa FIT

Mbona nyie watoto waongo waongo sana? Hujatomba miaka 8 na unapima ngoma kila baada ya miezi sita! Hiyo ngoma unaipata kwenye menu?
Cc tumboo
 
Last edited by a moderator:
Mbona nyie watoto waongo waongo sana? Hujatomba miaka 8 na unapima ngoma kila baada ya miezi sita! Hiyo ngoma unaipata kwenye menu?
Cc tumboo

Shida kweli..
 
Last edited by a moderator:
aaaaaaaaaaaaaaaaaah! Evelyn Salt.. Una mambo..! Sidhani...Maana huwa naota Ndoto "Nyevu" wanaitaga.. karibia mara mbili mpaka nne kwa wiki(Inategemea kama sijafanya mazoezi ndio huwa napataga hiyo hali..Na kujikuta Nafua mashuka mara kwa mara...lol!!

aah okay kwa lugha nyepesi tuseme unanyetuka....!!!
poa kila laheri
 
Nashangaaaa
Mbona nyie watoto waongo waongo sana? Hujatomba miaka 8 na unapima ngoma kila baada ya miezi sita! Hiyo ngoma unaipata kwenye menu?
Cc tumboo
 
Last edited by a moderator:
Ahsante....Data, maana kila mtu anawaza kulingana na alicho-kihifadhi katika moyo wake)..Kama punga mbona mabasha wamejaa tele! Nisinge kuja humu kuangaika na macomments ya watu kama nyinyi...Nashukuru pia kwa mchango wako..!
mmmnnnhhhh.!?! Unanipa mashaka. Unaweza ukawa punga wewe.
 
Inaonekana elimu juu ya namna UKIMWI unavyo ambukiza haija kaa sawa sawa kichwani...Zipo njia nyingine japo ni kwa asilimia chache,lakini hatuwezi kuzidharau hati kwasababu ni kwa aslimia chache....Anyway sijaja kuprove uongo na ukweli hapa..!
Mbona nyie watoto waongo waongo sana? Hujatomba miaka 8 na unapima ngoma kila baada ya miezi sita! Hiyo ngoma unaipata kwenye menu?
Cc tumboo
 
I have a feeling huyu jamaa ana hela kuliko anavyotaka tuamini hapa!!! Subiri happy aende huko ndo mtashangaa.
 
Kwa dunia ya sasa sidhani kama kuna mwanamke yupo teyari kuolewa na mwanaume mwenye uwezo wa kula mlo mmoja tu kwa siku..nakushauri uendelee kuabstain tu mkuu..

Ha ha ha ha aa umenifurahisha sana but mie mlo mmoja naweza coz asilimia kubwa ya maisha yangu nimeiwekeza katika kufunga na kuomba.
 
Duh miaka 8 hujaonamo!!!
utakuwa na wingu hatari....
Ujue watu wengi hawajui tu, ila mwili ni vile unavyouweka. Ukiamua kukaa bila ngono inawezekana sana japokuwa ule mwaka wa kwanza utapata tabu sana ila huo mwaka ukishaisha unaona kawaida sana.
 
hebu tufanye uwe mchepuko wangu petmanent wakati nakushauri jinsi yakuishi na huyo mkeo nanikiwapatanisha unipe zawadi nono mwenyewe nna ukata wa miaka ndugu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom